Waziri wa Afrika Mashariki, Dkt. Harrison Mwakyembe akitoa Hotuba ya ufunguzi kwa Wajumbe (hawapo pichani) kwenye Semina ya Majaji na Mawakili ya Umuhimu wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika usimamizi wa haki inayofanyika Machi 26, 2015 kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afrika Mashariki, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati ya walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe waliohudhuria Semina ya Majiji na Mawakili ya umuhimu wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika usimamizi wa Haki inayofanyika Machi 26, 2015 kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...