Gari la kubeba wagonjwa la Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam lenye nambari za usajili SM 9058 likiwa limeigonga kwa nyuma gari nyingine aina ya Toyota Mark II lenye nambari za usajili T 230 ATW kwenye makutano ya mtaa wa Uhuru na Msimbaji.
Madereza wa magari yote mawili wakiwa kwenye maelewani mara baada ya kutokea ajali hiyo,mchana wa leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...