Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifunga Mkutano wa Taasisi ya Research on Poverty Alleviation in Tanzania (REPOA) kwenye hoteli ya BahariBeach Jijini Dar es salaam Machi 25, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama machapisho mbalimbali kuhusu uwekeza wa gesi wakati alipotembelea banda la British Gas (BG) baada ya kufungau mkutano wa Taasisi ya Utafiti wa Kuondoa Umaskini (REPOA) kwenye hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es slaam Machi 25, 2015. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa REPOA, Profesa Samuel Wangwe, wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya REPOA, Profesa Meja Jenerali Mstaafu, Yodon Kohi na kulia ni Adam Prince kutoka Bkampuni ya British Gas. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
SIO RIPOA NI REPOA. TAFADHALI BADILISHA HAPO KATIKA HEADLINE
ReplyDelete