Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni ya urban and rular engineering ndugu Awadh Zuberi pamoja na ujumbe wake pichani wamemtembelea Balozi Liberata Mulamula, Kuanzia kushoto ni ndugu Paula Mwafongo (Afisa Ubalozi uchumi),Bwa. Joseph Mnzanilla ,Mh.Bbalozi Mulamula,Bwa. Awadh Zuberi,Shemuni Halahala pamoja na ndugu Majid Zuberi wakiwa katika picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Urban and Rular Engineering wa kwanza kulia ndugu Awadh Zuberi na msaidizi wake Shemuni Halahala wakiwasili Tanzania house
,ubalozini Washington, D.C.
Hizi L na R zitatupoteza:-)
ReplyDeleteSana tu na na wala watu hawajali namna wanavyoandika, kuandika hakuna lafudhi bali ni lazima kuzingatia Kiswahili sanifu.
ReplyDelete