Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakisikiliza taarifa ya Maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Kituo cha Kisasa cha Uchunguzi wa Magonjwa kinachojengwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa udhamini wa Serikali.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Bw. Rehani Athuman (aliyesimama) akitoa ufafanuzi wa maswali ya waandishi.
Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji Bw. Deusidedit Rutazaa akielezea ujenzi wa mradi huo wakati waandishi walipotembelea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...