Nyumba ipo KIJITONYAMA, Barabara ya kwenda kwa kopa, ina vyumba 12, inafaa kwa huduma za Ofisi, Biashara pia inaeneo kubwa la kuegesha magari na ipo jirani na Barabara ya lami kama inavyoonekana katika picha. Kwa mawasiliano zaidi tumia 0754 285529 au 0787285529 au Barua pepe florenyambo@gmail.com
Muonekano wa ndani wa nyumba hiyo.
Muonekano wa nje wa nyumba hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nyumba inaonekana nzuri lakini hizi rangi kama ofisi za Yangu au CCM hapana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...