Mwanamuziki Lady Jay Dee akitoa burudani na Machozi Band Ijumaa ya tarehe 27 mwezi huu ndani ya kiota chake cha Mog Bar & Restaurant (Nyumbani Lounge) katika show anazofanya mara moja kwa mwezi kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi ambapo Ijumaa hiyo alimualika Msanii machachari wa Bongo Flava Ali Kiba kwa ajili ya kukonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya kiota hicho.
Msanii nyota nchini, Ali Kiba akitoa burudani ya aina yake ndani ya kiota cha M.O.G Bar & Restaurant baada ya kutikia mualiko wa msanii mwezake Lady Jay Dee na kufanya Live Music bila kutumia CD na kuwafanya mashabiki kupagawa zaidi.
The mdudu, sasa mbona mnawapa misifa ambayo haina maana yoyote.....mm na wabana pua hatuendani kabisa coz hawana ujumbe wowote kwenye jamii ya watanzania zaidi ya kuchochea ngonozi chafu na mijiukimwi mitaani. ..kwa mfano nikiwa rais wa Tanzania leo hii. ..kipau mbele changu cha kwanza ni kupiga marufuku hao wabana pua....ili kuriepusha taifa na magonjwa ya zinaa yanayo pukutisha watanzania kila siku.
ReplyDelete