Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa akiteta jambo na msaani wa bogofleva Linah Sanga wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Ishi Kistaa inayoendeshwa na kampuni hiyo kwa kushirikiana na Green Telecom yenye malengo ya kuendeleza vipaji vya vijana chipukizi wa muziki na muvi kurekodi muziki au muvi na kuwapa frusa ya kuishi maisha ya kistaa ambayo wamekuwa wakiona wasanii wakiishi ili kushiriki katika promosheni hii unatakiwa kutuma neno STAA au STAR kwenda namba 15760 na utachagua staa unayempenda na utatumiwa maswali kuhusu huyo Staa na unaweza kuibuka mshindi,Kila wiki kuna mshindi mmoja anapatikana.Katikati ni Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Matina Nkurlu.
Meneja wa Nje wa Vodacom Tanzania,Abigail Ambweni (kushoto),Ofisa Mawasiliano wa kampuni hiyo Glory Mtui wakiwa katika pozi la picha na msanii wa muziki wa kizazi kipya Linah Sanga wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Ishi Kistaa inayoendeshwa na kampuni hiyo kwa ushirikiana na Green Telecom yenye malengo ya kuendeleza vipaji vya vijana chipukizi wa muziki na muvi kurekodi muziki au muvi na kuwapa frusa ya kuishi maisha ya kistaa ambayo wamekuwa wakiona wasanii wakiishi ili kushiriki katika promosheni hii unatakiwa kutuma neno STAA au STAR kwenda namba 15760 na utachagua staa unayempenda na utatumiwa maswali kuhusu huyo Staa na unaweza kuibuka mshindi,Kila wiki kuna mshindi mmoja anapatikana.
MC wa uzinduzi wa promosheni ya Ishi Kistaa VJ Penny akiteta jambo na Ofisa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Glory Mtui wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Ishi Kistaa inayoendeshwa na kampuni hiyo kwa kushirikiana na Green Telecom yenye malengo ya kuendeleza vipaji vya vijana chipukizi wa muziki na muvi kurekodi muziki au muvi na kuwapa frusa ya kuishi maisha ya kistaa ambayo wamekuwa wakiona wasanii wakiishi ili kushiriki katika promosheni hii unatakiwa kutuma neno STAA au STAR kwenda namba 15760 na utachagua staa unayempenda na utatumiwa maswali kuhusu huyo Staa na unaweza kuibuka mshindi,Kila wiki kuna mshindi mmoja anapatikana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...