Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Nkaya Bendera, akizungumza jana mjini Babati wakati wa kumuaga Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu huria (OUT) Profesa Tolly Mbwette, (kushoto) na aliyepo kulia ni Mkuu wa wilaya ya Babati Crispin Meela.
Mkurugenzi wa chuo kikuu huria kituo cha Manyara Dk Joseph magali (kushoto) akimpongeza Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu huria nchini (OUT) Profesa Tolly Mbwette (kulia) baada ya kuvikwa vazi la jadi la jamii ya watu wa mkoa wa Manyara jana, kwenye hafla ya kumuaga profesa huyo ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa vyuo vikuu vya Afrika nzima.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu huria nchini (OUT) Profesa Tolly Mbwette (kulia) akikabidhiwa cheti cha heshima jana na Mkurugenzi wa chuo kikuu huria kituo cha Manyara kwenye hafla ya kumuaga profesa huyo ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa vyuo vikuu vya Afrika nzima.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...