Meneja Masoko wa maduka ya Woolworths Tanzania,Edwina Barongo
akisisitiza jambo kwa wateja waliofika katika Uzinduzi wa punguzo la bei ya
bidhaa zote zinazouzwa katika Maduka yote ya Woolworths yaliyopo
Arusha na Dar es Salaam, Punguzo hilo litadumu kwa muda wa wiki Nne
ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka.Hafla hiyo ilifanyika
jijini Dar es Salaam jana.
Mgeni rasmi (Loyal Customer) Manfred Ngantunga (kulia) akizindua
duka la Woolworths lililopo mtaa wa Ohio jengo la PPF Tower ikiwa ni
sehemu ya kuzindua punguzo la bei nafuu kwa bidhaa zinazouzwa na
kampuni hiyo katika maduka yaliyopo Arusha na Dar es Salaa.Katikati ni
Meneja Mkuu wa Woolworths Tanzania Joehans Bushiri na Mkurugenzi wa
fedha Samson Katemi(kushoto).Uzinduzi huo wa Punguzo la bei kwa
asilimia 50 utadumu kwa muda wa wiki Nne ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mteja wa muda mrefu wa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya
Woolworths ambaye pia alikuwa Mgeni rasmi Manfred Ngantunga (katikati)
akikabidhiwa zawadi na mfanyakazi wa duka hilo, baada ya kuzindua
punguzo la bei la bidhaa kwa asilimia 50%zinazouzwa kwenye maduka ya
hayo Tanzania, Kulia ni Meneja Mkuu wa Woolworths Joehans
Bushiri,Hafla ya uzinduzi ilifanyika makao makuu ya woolworths jijini Dar
es Salaam.
Meneja Mkuu wa kampuni ya Woolworths Tanzania, Joehans Bushiri akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa punguzo la bei kwa bidhaa zinazouzwa katika maduka yote ya Woolworth, kwa kipindi cha wiki Nne ikiwa ni sehemu ya ponguzo la kununua bidhaa bora kwa kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka.Hafla ya uzinduzi ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Kwakweli wamefanya jambo zuri, ukizingatia nguo zao zina ubora wa hali ya juu
ReplyDelete