Wema
Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada yan kufanya
ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and
white party iliyofanyika jana usiku tarehe 7/3/2015 jijini Arusha
kushoto ni mtangazaji mahiri wa kituo hicho Wilfredy akiwa anafanya
kipindi na mwanadada huyo, Wanaonekana pichani ni team Wema.(Habari
Picha na Pamela Mlollel wa jamiiblog)
Wema
Sepetu akiwa anaeleza furaha yake yakuwepo jiji Arusha ambapo amesema
jiji la Arusha ni miongoni mwa majiji anayoyapenda, Mwanza ikiwa ya
kwanza na Arusha ya pili, Kulia ni msanii Petiman a.k.a Wakuache.
Mkuu wa vipindi vya Radio5 kulia Mathew Phillip akiwa anakaribisha team Wema.
That jeans do not look good to you. Those type of jeans looks good for skinny girls,.
ReplyDeleteThose cellulites by the way are not good to be shown,this is not our culture.Wema just dress appropriately it would not compromise your beauty.
ReplyDeleteYou are so right
Delete