WAHARIRI
22 wa Vyombo vya habari mbali mbali nchini jana walifanya ziara kwenye
Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) wakiongozwa na Jukwaa la
Wahariri Tanzania(TEF).
|
Meneja
wa Kiwanda cha Bia cha TBL Mbeya, Waziri Jemedari akitoa maelezo kuhusu
kiwanda hicho kwa Wahariri kutoka vyombo mbali mbali vya habari nchini. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...