Meneja Mkuu wa Benki ya Exim tawi la Arusha Bw. Fredrick Umiro (kulia) akikabidhi vyandarua vyenye dawa kwa Mtaalamu wa masuala ya upasuaji katika hospitali ya  Mount Meru iliyopo jijini Arusha,  Dkt. Zubera Mtengwa (wa pili kushoto).Wakishuhudia pembeni ni Meneja Mauzo wa benki ya Exim Arusha Bw Bw. Assed Ali Naqvi (kushoto)na wawakilishi kutoka hospitali hiyo.Msaada huo ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani inayoadhimishwa kote ulimwenguni Aprili 25 ya kila mwaka
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula iliyopo Mkoani Mtwara Dkt. Mohamed Gwao (wa pili kulia) pamoja na Meneja Huduma kwa Wateja na Uendeshaji wa Benki ya Exim Tawi la Mtwara Bw. Chande S. Chande (kulia) wakionyesha baadhi ya vyandarua vilivyowekewa dawa ikiwa ni msaada kutoka benki hiyo. Wakishuhudia tukio hilo ni baadhi ya wawakilishi kutoka benki ya Exim Mtwara na hospiatali hiyo. Msaada huo ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani inayoadhimishwa kote ulimwenguni Aprili 25 ya kila mwaka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...