Meneja Masoko wa kampuni ya AVIC International,Bw.He Xianlong (katikati) akimwonyesha Mkurugenzi wa Benki ya CBA Tanzania,Bw.Julius Mcharo na maofisa alioambatana nao ramani za nyumba  zilizojengwa kwa ajili ya kuuzwa wakati wa ziara ya maofisa wa CBA walipotembelea mradi huo leo. CBA imeingia mkataba wa kutoa mikopo kwa wananchi wanaotaka kununua nyumba hizo kwa ajili ya makazi
Maofisa wa CBA Na Avic wakiangalia nyumba ambazo  zimejengwa kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania,Bw.Julius Mcharo  na maofisa wengine wa benki hiyo wakiwasili katika eneo la Kigamboni walipofanya ziara ya kutembelea nyumba za mradi wa Avic International,CBA imeingia mkataba wa kutoa mikopo kwa wananchi wanaotaka kununua nyumba hizo kwa ajili ya makazi.Wengine pichani ni maofisa waandamizi ya Avic.
Meneja Msaidizi wa kampuni ya AVIC International,Bw.Li.Jiayin (katikati) akimwonyesha Mkurugenzi wa Benki ya CBA Tanzania,Bw.Julius Mcharo eneo la mradi  wa  uwekezaji wa ujenzi wa nyumba za kuuza wakati wa ziara ya maofisa wa benki hiyo kutembelea nyumba hizo. CBA imeingia mkataba wa kutoa mikopo kwa wananchi wanaotaka kununua nyumba hizo kwa ajili ya makazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2015

    Hizo nyumba zipo maeneo gani?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2015

    Nyumba hizi ziko wapi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...