MAREHEMU BERNARD THOMAS NDERUMAKI

Ni miaka miwili imepita tangu mungu alipokuchukua mnamo tarehe 10 Aprili, 2013. Si rahisi kumpata mbadala wako, kwani ulikuwa Mume, Baba, Babu, Mwalimu, Rafiki na zaidi ya yote mtu mwenye upendo wa kweli kwa jamii. Kumbukumbu zako hazitakaa zitutoke kirahisi, na tutakua tukikukumbuka milele. Pumzika kwa amani.

Misa ya kumbukumbu itafanyika Parokia ya St. Thomas More, Mbezi Beach siku ya Jumapili tarehe 12 Aprili, kuanzia saa 2.30 asubuhi.

Wote mnakaribishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...