Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Yesaya. Mwakifulefule  akikabidhi hundi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ruangwa Bw. Nicolaus Kombe wakati wa sherehe za makabidhiano zilizofanyika jana Ruangwa mkoani Lindi. Hii ni mikopo ya wanachama kupitia SACCOS zinazotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF  ili kuwawezesha kutimiza malengo yao mbali mbali wakati wakiwa bado kazini au kabla ya kusataafu. Hadi kufikia sasa LAPF imetoa mikopo ya zaidi ya sh, 2.2 bilioni.LAPF imeikopesha Saccos ya Walimu katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkopo wenye thamani ya shilingi milioni mia moja (100,000,000). 
  Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Yesaya. Mwakifulefule  akizungumza jambo mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa sherehe za makabidhiano ya hundi,ambazo hutolewa kama sehemu ya mikopo ya wanachama wa SACCOSS na mfuko wa pensheni wa LAPF ili kuwawezesha kutimiza malengo yao mbalimbali wakati wakiwa bado kazini au kabla ya kustaafu,hafla hiyo ilifanyika jana Ruangwa mkoani Lindi.

 LAPF imetoa mikopo ya zaidi ya sh, 2.2 bilioni.LAPF imeikopesha Saccos ya Walimu katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkopo wenye thamani ya shilingi milioni mia moja (100,000,000).  
  Mkurungezi wa Halmashauri ya Ruangwa Bw. Nicolaus Kombe akimkabidhi hundi Mwenyekiti wa Saccos ya Walimu Ruangwa Bw. Hamisi Salum Marungu wakati wa Makabidhiano hayo.
  Afisa wa Mipango na Uwekezaji Bw. Filbert Francis akitoa maelezo kuhusu Mikopo ya SACCOs wakati wa sherehe za makabidhiano. 
  Mkurungezi wa Halmashauri ya Ruangwa Bw. Nicolaus Kombe akizungumza jambo mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa sherehe za makabidhiano ya hundi,ambazo hutolewa kama sehemu ya mikopo ya wanachama wa SACCOSS na mfuko wa pensheni wa LAPF ili kuwawezesha kutimiza malengo yao mbalimbali wakati wakiwa bado kazini au kabla ya kustaafu,hafla hiyo ilifanyika jana Ruangwa mkoani Lindi.

 LAPF imetoa mikopo ya zaidi ya sh, 2.2 bilioni.LAPF imeikopesha Saccos ya Walimu katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkopo wenye thamani ya shilingi milioni mia moja (100,000,000). 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...