Familia ya Haule wa Kiluvya Gogoni Inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Lt. Col. Pascal Stephen Haule(mstaafu)  Kilichotokea tarehe 10/4/2015 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Mazishi yatafanyika nyumbani kwa marehemu Kiluvya Gogoni siku ya Jumanne 14/4/2015 Habari ziwafikie Ndugu  jamaa majirani na marafiki Popote pale walipo.

Bwana Ametoa Bwana Ametwa
 Jina la Bwana Lihimidiwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...