Familia ya Haule wa Kiluvya Gogoni Inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Lt. Col. Pascal Stephen Haule(mstaafu) Kilichotokea tarehe 10/4/2015 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Mazishi yatafanyika nyumbani kwa marehemu Kiluvya Gogoni siku ya Jumanne 14/4/2015 Habari ziwafikie Ndugu jamaa majirani na marafiki Popote pale walipo.
Bwana Ametoa Bwana Ametwa
Jina la Bwana Lihimidiwe
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...