Familia ya Marehemu Freddrick Nicholaus Kaaya wa
Mikocheni Dar es Salaam, wanasikitika
kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Flora Kaaya (pichani) kilichotokea 11/04/2015 katika
Hospitali ya TMJ.
Mwili wa Marehemu utaagwa nyumbani kwake Mikocheni siku ya Jumatano Aprili 15,2015 kuanzia saa 4 asubuhi.
Mazishi yatafanyika kijiji cha Akheri –Arumeru, Arusha suku ya Alhamisi Aprili 16,2015 saa 4 Asubuhi.
Mwili wa Marehemu utaagwa nyumbani kwake Mikocheni siku ya Jumatano Aprili 15,2015 kuanzia saa 4 asubuhi.
Mazishi yatafanyika kijiji cha Akheri –Arumeru, Arusha suku ya Alhamisi Aprili 16,2015 saa 4 Asubuhi.
BWANA AMETOA NA BWANA
AMETWAA,
JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...