Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo
Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (kulia)akishaurina na Mkuu wa Mkoa wa
Ruvuma Said Mwambungu(katikati) leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya
mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka
2015.Wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana James
Kajugusi(mwenye kofia nyeupe) na Katibu wa Waziri wa Habari , Vijana ,
Utamaduni na Michezo Juma Mswadiki(mwenye tshirt ya bluu bahari)
Naibu Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia (wa pili kulia)akishaurina na Katibu Mkuu wa Mkuu wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015.Wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana James Kajugusi(mwenye kofia nyeupe) na Waziri wa Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii , Vijana ,wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Zainabu Omary Mohamed(kushoto)
Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (katikati)akishaurina na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushotoi) na Waziri wa Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii , Vijana ,wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Zainabu Omary Mohamed(kulia) leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015, utakaozinduliwa tarehe 29.4.2015 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Naibu Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia (wa pili kulia)akishaurina na Katibu Mkuu wa Mkuu wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015.Wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana James Kajugusi(mwenye kofia nyeupe) na Waziri wa Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii , Vijana ,wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Zainabu Omary Mohamed(kushoto)
Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (katikati)akishaurina na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushotoi) na Waziri wa Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii , Vijana ,wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Zainabu Omary Mohamed(kulia) leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015, utakaozinduliwa tarehe 29.4.2015 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Waziri
wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella
Mukangaraakizunguza na wandishi wa habari leo mjini Songea.
Kikundi cha sanaa cha Mlale JKT mkoani Ruvuna kikitumbuiza leo mjini Songea wakati wa
mazoezi ya mwisho ya
maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015 ,utakaozinduliwa tarehe 29.4.2015 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...