Apostle
Onesmo Ndegi kiongozi wa huduma ya Living Water Centre Ministry Kawe
ambaye ndio kiongozi wa kozi hiyo alikuwepo kuhudhuria mahafali hayo,
ambayo kozi hiyo ilianza mwaka 2004 ikiwa na wanafunzi wachache ambapo
kadri miaka inavyokwenda idadi imekuwa ikiongezeka, na tangu chuo kianze
mwaka huu ni mahafali ya 11.
Mahafari
hayo yalipambwa na Uimbaji,Maigizo,dance na shuhuda za kile ambacho
Mungu amewatendea wanafunzi hao katika kipindi chote walichosoma.Wengi
wao katika shuhuda wamesema darasa hilo limewafundisha kumtumikia Mungu
zaidi
Wakitoa
shukrani zao kwa Mungu na mtumishi wamesema kuwa wamefundishika vyema
kwa sababu wapo tofauti sana na walivyokuwa awali kabla ya kuanza darasa
na wamefanyika utu upya na kwao hadi jana wanahitimu darasa wamepata
mabadiliko makubwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...