Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori kugongana uso kwa uso  mkoani Shinyanga leo.
 Zoezi la kunyanyua mabaki ya basi hilo likiendelea
 Simanzi yatawala eneo la ajali
Winchi likiwa kazini huku wanahabari wkirekodi tukio la kunyanyuliwa basi hilo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. JENGENI BARABARA ZENYE NJIA NYINGI NA WAPENI MAFUNZO MADEREVA NAMNA YA KU-OVERTAKE NA MENGINEYO, AU LA SIVYO MISIBA YA OVYOOVYO ITAENDELEA.

    ReplyDelete
  2. Naungana na yule Professor aliyesema watanzania wote tuna ugonjwa wa akili

    ReplyDelete
  3. Imarisheni reli na kujenga reli mpya kupunguza mbio za haya mabasi maana kutakuwa na kampuni chache kubwa tu zitakazoweza kushindana na usafiri wa reli na kuondokana na wamiliki kampuni ndogo za mabasi zenye njaa zinasosababisha ajali hizi zinazoweza kuepukika.

    Kukiwepo na usafiri bora wa reli uliosambaa na kampuni chache kubwa za mabasi ajali hizi zitapungua kwa kiasi kikubwa.

    ReplyDelete
  4. Anwani ya habari inamlaumu Mungu kwamba hakutunusuru wakati ametunusuru kwa kutupa akili timamu na fikra. Sisi hatukuzitumia vizuri kwa:
    1. Rushwa kununua leseni za udereva,
    2. barabara nyembamba na mbaya
    3. ufisadi unasababisha watu wawe masikini hivyo washindwe kupanda ndege na kuishia mibasi hii.
    4......

    ReplyDelete
  5. Bola haya mabasi yafungiwe tu

    ReplyDelete
  6. Naona tunahitaji maombi Mungu aingilie kati hizi ajali zimezidi mambo gani haya ya kupoteza watu namna hii..

    Ile ripoti ya kuhusu ajali ya wizara ya uchukuzi je ilifanyiwa kazi? Kama ilifanyiwa mbona ajali zinazidi

    ReplyDelete
  7. Inna Lillah wainaillah rajiun, Watanzania turudi kwa Mwenyezi Mungu tuombe sana. Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi maiti wote wa ajali na majeruhi awaponye waungane na familia zao. Amin

    ReplyDelete
  8. Leseni zote za Madereva wanaoendesha basi kubwa zisitishwe na wapatie elimu, wafaulu na kuendesha basi au la tutakufa kila siku.

    ReplyDelete
  9. tatizo ni leseni za kununuwa,watu hawajui kanuni za balabala

    ReplyDelete
  10. KWANINI....WHY?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...