Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar  (katikati) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif ALi Iddi (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,Mama Mwanamwema Shein (kushoto) na Mwenyekiti wa Mkoa Mjini kichama Borafya Silima Juma (wa pili kushoto) wakiwa katika uzinduzi wa mfuko wa Maendeleo ya Mkoa wa Mjini sambamba na Chakula cha kuchangia Mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani jana.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar (kulia) alipokuwa akitoa nasaha zake wakati wa Chakula cha hisani cha kuchangia  Mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini uliofanyika jana katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja na kuwajumuisha wafanyabiashara mbali mbali na Viongozi wa CCM wa Mkoa huo.
  Baadhi ya wajumbe wa kamati Maalum ya mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini wakielekezana jambo wa uzinduzi wa Mfuko huo sambamba na Chakula cha hisani cha kuchangia  Mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar.
 Viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi CCM wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Mjini Kichama sambamba na chakula cha kuchangia mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...