Mtaalamu wa Afya ya Uzazi kutoka chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania Mkoa
wa Mwanza Bi,Jacinta Mutakyawa (Aliyesimama) akiongea na waratibu wa Ukimwi,Maafisa Vijana
na Wadau mbalimbali juu ya haki za Afya ya Uzazi na Ujinsia leo jijini
Mwanza.Haki izo zikiwemo haki ya kuwa huru
dhidi ya vitendo vya ukatili na haki ya kuchagua na kupanga uzazi.
Mratibu wa Ukimwi kutoka Wizara ya
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw,Musa Varisanga(Aliyevaa Miwani) akifurahia jambo na Mratibu wa Vijana kutoka
Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Bi,Grace Kessy(wa Kwanza Kulia) leo jijini Mwanza inapofanyika Warsha ya Stadi
za Maisha na Afya ya Uzazi katika hoteli
ya Midland.
Washiriki wa warsha ya stadi za maisha na afya ya
uzazi wakimsikiliza kwa makini mtaalamu
wa afya ya uzazi(hayuko pichani) kutoka
Mwanza Bi,Jacinta Mutakyawa alipokuwa akiwapa elimu ya Afya ya Uzazi
ikijumuisha Afya ya Ujinsia na Haki zake leo jijini Mwanza katika hoteli ya Midland.Warsha iyo imefikia
siku ya Pili.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...