Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia.
 Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Ofisi Ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo, kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania.
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
(Imeandaliwa na mtandao wa http://www.habarizajamii.com/)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tatizo la shilingi yetu kushuka thamani inabidi litafutiwe ufumbuzi wa kudumu sio zima moto. Uchumi wetu sio 'export oriented' kwa hiyo tunajikuta kuna tofauti kubwa kati mapato yetu kutokana na mauzo ya bidhaa kwenda nje(exports) na manunuzi ya bidhaa kutoka nje(Imports). Si ajabu kwa sasa utalii ndio unaingiza pesa nyingi za kigeni kuliko mauzo ya pamba, kahawa, korosho, mahindi na kadhalika

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...