Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kati Kati
akisindikizwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Said Mohd Dimwa Kulia
yake mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa pamoja kati ya Uongozi wa Kampuni inayohusika na
masuala ya Teknolojia ya Kisasa ya mawasiliano ya Baharini { SRT } na watendaji wa sekta ya Habarini
hapo Zanzibar Ocean View.
Afisa Mkuu wa Mradi wa Teknolojia ya Kisasa ya mawasiliano ya
Baharini wa Kampuni ya { SRT } kutoka
Nchini Uingereza Bwana Simon Tucker
akielezea umuhimu wa kifaa cha mawasiliano kinachotumika katika vyombo vya
usafiri Majini kwenye Mkutano wa pamoja na watendaji wa Sekta ya Baharini hapa
Zanzibar.
Wa Pili
kutoka Kulia waliokaa ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Iddi, Kulia ya Balozi ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Said Mohd Dimwa na
wa kwanza kulia ni Bwana Lazaria Moh’d Said.
Balozi Seif akizungumza na
Wanahabari
mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa pamoja kati ya Uongozi wa Kampuni
inayohusika na masuala ya Teknolojia ya Kisasa ya mawasiliano ya
Baharini { SRT } ya Nchini Uingereza na watendaji wa Taasisi
zinazohusika na sekta
hiyo hapo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...