![]() |
Meneja wa Benki ya NMB kanda ya kaskazini Vicky Bishubo akizungumza wakati wa kukabidhi msaada wa kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni ukanda wa chini wilayani Hai. |
![]() |
Msaada wa magodoro uliotolewa na Benki ya NMB kwa waathirika wa mafuriko yaliyotkea hivi karibuni wilayani Hai. |
![]() |
Meneaja wa NMB kanda ya kasakazini Vicky Bishubo akikabidhi msaada kwa mkuu wa wilya ya Hai,Anthony Mtaka huku zoezi hilo likishuhudiwa na mbunge wa jimbo hilo Freeman Mbowe. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI |
Tunashukuru kwa misaada ya wananchi, tuhimize pia wahusika wa land scapping mainjinia na wengi wa halmashauri ufumbuzi wa kuzuia mafuriko siku zijazo wa kitaaluma na kitaalamu ufanywe na idara zinazohusika.
ReplyDelete