Waziri Mkuu Mstaafu na pia Rais wa Chama cha Mahusiano Mema kati ya Uchina na Tanzania akiwa na Kamisaa wa Siasa katika Chuo Kikuu cha Ulinzi cha Uchina (Political Commissar of the National Defense University of China) Jenerali Liu Yazhou pamoja na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake leo Jumatatu. Jenerali Liu Yazhou amekuja nchini kwa ziara ya siku mbili.
Home
Unlabelled
Dk. Salim atembelewa na Ugeni wa Jeshi la Uchina
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...