Globu ya Jamii kwa kushirikiana na EFM 93.7 kuanzia leo itakuletea baadhi ya vipindi ama mada motomoto zinazoifanya stesheni hiyo ya redio inayokuja juu kwa kasi izidi kuchana anga nchini Tanzania na nje ya nchi kupitia mtandaoni. Kukuonjesha tu leo tunakuandalia mahojiano ya mtangazaji hodari wa Sports Headquaters Dkt. Panjuan wakati akihojiana na wadau mbalimbali wa michezo.
BOFYA MSHALE MWEKUNDU TUANZE KAZI...
BOFYA MSHALE MWEKUNDU TUANZE KAZI...
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...