Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akizungumza na wananchi wa Kata ya Msongola, Kijiji cha Mbondole katika uzinduzi wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji hicho jijini Dar es Salaam.
Diwani wa Kata ya Msongola, Angelina Makembeka akimshukuru Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa kwa kutembelea kijiji cha Mbondole jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...