Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma Mhe. Nyakimura Muhoji (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji baada ya kumaliza kikao nao Brussels Ubeligiji. Wa pili kutoka kushoto Ni Bwana Festo Kipate Afisa Mhandamizi kutoka Wizara ya Fedha na wa tatu kutoka kushoto ni Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala, Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...