Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa,ajali na upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dokta Othman Kiloloma (kulia) akifungua Mkutano wa tatu wa Madaktari Bingwa wa Mifupa uliyofanyika katika Taasisi hiyo Dar es Salaa
Daktari Bingwa wa Mifupa wa Taasisi hiyo Dk. Edmund Ndalama (kulia) akizungumza na Makt. Bingwa tota Nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania na Marekani ambapo lengo ni kubadilishana ujuzi kwa Nadharia na Vitendo na unatarajia kumaliza 29-Mei 2015
Mbona huyu amekaa kama anafifungua wajameni?
ReplyDeleteMchangiaji hapo juu umenivunja mbavu.
ReplyDeleteAu pengine ni mafindo findo hayo, yanauma kweli kweli huwezi kuyakalia.
ReplyDelete