Mgeni Rasmi katika Mkutano wa sita wa Mwaka wa Wadau wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Adam Malima akitoa hotuba yake katika ufunguzi wa Mkutano huo, ulioanza leo Mei 28, 2015 kwenye hoteli ya Regal Naivera, Jijini Tanga. Kauli mbiu ya Mkutano huo ni "Mafao Bora kwa Maisha yako ya Sasa na ya Baadae".PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Daud Msangi akizungumza wakati akitoa utambulisho wa wageni mbali mbali waliohudhulia kwenye Mkutano wa sita wa Mwaka wa Wadau wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, ulioanza leo Mei 28, 2015 kwenye hoteli ya Regal Naivera, Jijini Tanga. 
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Joyce Shaidi akitoa taarifa ya Bodi yake kwa wanachama na wadau wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, wakati wa Mkutano wa sita wa Mwaka wa Mfuko huo, ulioanza leo Mei 28, 2015 kwenye hoteli ya Regal Naivera, Jijini Tanga. 
 Mgeni Rasmi katika Mkutano wa sita wa Mwaka wa Wadau wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Adam Malima (kushoto) akizindua rasmi Mafao Mapya yatowewayo na Mfuko huo, mara baada ya kuufungua Mkutano huo.Wengine pichani toka kulia Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Daud Msangi, Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii, Juma Muhimbi pamoja na  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Joyce Shaidi.
Baadhi ya Wakuu wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii wakiwa kwenye Mkutano huo.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Mh. Joshua Nassary akifatilia kwa makini Mkutano huo.

KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA AU BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...