Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Martin Mmari, (kushoto), akimkabidhi cheti Mfanyakazi bora wa Mfuko huo kutoka kanda ya Ziwa, Bernard Kyaduma, wakati wa hafla ya kuwapatia tuzo wafanyakazi bora wa Mfuko huo mwaka 2014.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Julius Kam Mganga, (wapili kushoto), akitunuku cheti Mfanyakazi bora wa jumla wa Mfuko huo kwa mwaka 2014, Angelina Napacho kutoka kurugenzi ya Operesheni ya Mfuko huo, wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi bora kutoka kila idara kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumapili Mei 17, 2015. Wanaoshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Ukaguzi wa ndani, Hoseah Kashimba, na Mkurugenzi wa Fedha, Martin Mmari.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Julius Kam Mganga, akitoa hotuba kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu, William Erio.
Kamati ya maandalizi ya sherehe hoyo, chini ya uenyekiti wake, Mratibu wa Ofisi za Kanda za PPF, Mbaruku Magawa Mbaruku, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...