Baadhi ya watayarishaji wa chakula wakiwaandaa samaki aina ya migebuka tayari kwa ajili ya kuwauzia wateja wao katika tamasha la Migebuka (Migebuka Festival) lililofanyika mjini Kigoma.
Samaki aina ya migebuka wakianikwa tayari kwa ajili ya kuchomwa .
Maandalizi yakiendelea
Mr.Eliud mmoja wa wapishi maarufu wa mjini Kigoma akiandaa migebuka ya kuchoma kwa ajili ya wateja wake. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...