Mkuu wa taasisi ya Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akishirikiana na wasimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni Meelis Kuuskler (katikati) pamoja na Julius Giabe kuunganisha kifaa cha kujifunzia masomo  kupitia kompyuta  katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam.  Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync  chini ya Vodacom Foundation.
  Msimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni, Meelis Kuuskler (katikati)akiwafafanulia jambo Mkuu wa taasisi ya Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) na Julius Giabe kuhusu kifaa cha kujifunzia masomo  kupitia kompyuta  kilichokuwa kinaunganishwa katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam. Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync chini ya Vodacom Foundation.
 Msimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni, Meelis Kuuskler akiunganisha kifaa maalum cha kuchajia kompyuta katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam.  Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync chini ya Vodacom Foundation utakabidhiwa hivi punde.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...