Home
Unlabelled
TAARIFA KWA UMMA :UFAFANUZI JUU YA KANUNI YA UWIANISHAJI WA MAFAO YA PENSHENI 2014.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huu ni wizi wa wazi kabisa, siku hizi life expactancy imeshuka sana uwezekano wa kufika miaka 60 ni mdogo sana, na sector binafsi ndo kabisaaaa hufika....asa kwanini mnikate hela zote hizooo? au mnataka tufe mzipigee? sawa tuu lakini si mmeamua nyie
ReplyDeletehii ni sheria kandamizi kwa mfanyakazi na mchangiaji, inamnang'anya jasho lake bila sababu za msingi. kama asilimia ya wanaostaafu kabla ya muda ni ndogo kwanini iwekwe hii sheria basi?
ReplyDeleteiwapo SSRA wanataka kupitisha hii sheria, basi wapitishe nyingine ya kuondoa kuchangia mifuko kuwa jambo la lazima, hapo tutazielewa sheria za kuhalalihsa uporaji.