Familia ya Mchungaji Fanuel Solomon wa Mruma Ugweno – Kilimanjaro wanasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa, Mama Salome Fanuel Solomon kilichotokea Ugweno siku ya Ijumaa tarehe 22/05/2015. Mazishi yatafanyika kijijini Mruma, Ugweno siku ya Ijumaa 29/05/2015.Taratibu za mazishi zinafanyika kwa mtoto wa marehemu Mbazi Fanuel Solomon Kunduchi Beach, Dar es salaam.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA – JINA LAKE LIHIMIDIWE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...