Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi beach jijini dar,hafla hiyo imefanyika mwishoni mwa wiki.
Makofi na shangwe za furaha zilisikika mara baada ya Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo kukata utepe wa kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi beach jijini dar,hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali.
 Mkurugenzi wa Universal Body Fitness Bi.Mariam Shamo wa kwanza kulia akiwa na wageni waliohudhuria ufunguzi huo.
 Sehemu ya mazoezi yakiendelea kwa wshiriki wa Universal Body Fitness
Pichani shoto ni  Mkurugenzi wa Universal Body Fitness Bi.Mariam Shamo akiwa na baadhi ya wafanyakazi,mara baada ya kufanyika uzinduzi wa kituo hucho kilicho na vifaa vya kisasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...