UnaambiwanKama una sticker ya 97.3 EFM ya mwaka jana….wese la bure la kumwaga. Jana tuligawa wese Kinondoni…TSN Bamaga, Jumatano  tupo Ilala, TSN TABATA...Ushindwe wewe tu...!
Wadau wa 97.3 EFM wakipata wese la bure katika kituo cha mafuta cha TSN Bamaga jijini Dar es salaam baada ya kukutwa na sticker ya mwaka jana ya 97.3 EFM
Foleni katika kituo cha mafuta cha TSN Bamaga jijini Dar es salaam baada ya wadau kukutwa na sticker ya mwaka jana ya 97.3 EFM
Wese mbele kwa mbele
Mtangazaji wa Gardner G. Habash akiwa na wadau katika kituo cha mafuta cha TSN Bamaga jijini Dar es salaam ambao walikutwa na sticker ya mwaka jana ya 97.3 EFM na kuadhibiwa kwa kujaziwa wese full tank

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...