KATIBU
Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, (aliyekaa), akimsikiliza Mkurugenzi
Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (kushoto),
alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye wa Maonyesho ya Umma
yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam Juni 22, 2015
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, (CAG), Profesa Mussa J. Assad,
(kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa
PPF, William Erio, (kulia), wakati alipotembelea banda la PPF kwenye
Maonyesho yanayoendelea ya Wiki ya Utumishi wa Umma, kwenye viwanja vya
Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam Juni 22, 2015
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...