Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule 
alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mteule wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule
alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi Mteule wa Jamhuri 
ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule baada ya 
mazungumzo yao alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar
leo,[Picha na Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...