Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania  Bi. Ilakiza Hezwa (kulia) akichangia damu sambamba na wafanyakazi wenzie waliojitokeza makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu duniani .Kushoto ni Ofisa wa Mpango wa taifa wa damu salama (NBTS) Bw. Peter Chami.
 Mkuu wa kitengo Uendeshaji na teknolojia Bw. Hamza Mohamed (kulia) akipima shinikizo la damu kabla ya kuungana na wafanyakazi wenzie wa benki hiyo waliojitokeza makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma kuchangia damu  ikiwa ni maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu duniani . Kushoto Afisa kutoka  Mpango wa Taifa wa damu salama (NBTS), Peter Chami.
 Mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate Security Group, Bw. Kakili Juma (kulia)  akichangia damu sambamba na wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania  waliojitokeza makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma kuchangia damu  ikiwa ni maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu duniani . Kushoto Afisa kutoka  Mpango wa Taifa wa damu salama (NBTS), Peter Chami.
Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania  (kulia) akipima shinikizo la damu kabla ya kuungana na wafanyakazi wenzie  waliojitokeza makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma kuchangia damu  ikiwa ni maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu duniani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...