Kwa mara nyingine tena Yule msanii machachari ambaye anainukia kwa kasi katika muziki wa bongofleva  Boniface( a.k.a handsome boy a.k.a asali ya Morogoro   a.k.a bon-to-face)  kwa mara nyingine tena ameachia wimbo na video yake mpya iitwayo  “Nikitaka”
Audio ya wimbo huo umefanyika katika studio  za Authentic Record jijini Dar es salaam chini ya Producer mwenye kiwango za hali ya juu Mr. Allan Mapigo
Video ya wimbo huu imefanywa kampuni mpya kabisa shine studioz, ni moja ya kazi safi kabisa chini ya Director matata kabisa  Ivan
Boniface ni miongoni mwa wasanii  wenye sauti nzuri na  kujituma kwenye muziki, takribani ameshatoa nyimbo kadhaa siku za nyuma ambazo zimefanya vizuri sana nje ya nchi, 
Aidha,  kwa sasa Boniface ameweka wazi kuwa hana meneja au msimamizi wa shughuli zake za muziki, kwahiyo milango ipo wazi kwa yeyote ambaye yupo tayari kufanya nae kazi za  muziki kwa ujumla.
Wimbo                   :         Nikitaka
Msanii                             :         Boniface (Bon-To-Face)
Studio                   :         Authentic Records
Producer                :         Allan Mapigo

Mawasiliano::
Simu            :         +255 716 542640
Facebook     :         bonyface.mateza@yahoo.com
Instagram    ;         bon-2-faceBONIFACE - NIKITAKA (Offial Video music)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...