CHANNEL 10.
SIMUtv:  Hatimaye serikali ya Tanzania imekubali mapendekezo ya kuwaingiza mabaharia katika utafiti kwenye sekta ya mafuta na gesi.   https://www.youtube.com/watch?v=MwReNguQ3G4

SIMUtv:  Kiongozi wa ACT Zitto Kabwe amewashauri Wakazi wa mikoa ya kusini Kuwashauri Wabunge wao kuhusu Mswaada wa Gesi kutojadiliwa.     https://youtu.be/2fQQbAGvuts

SIMUtv:  CHADEMA Maendeleo CHADEMA kimetoa rai kwa Mwanachama yeyote kuchukuliwa hatua endapo atabainika kukigawa chama hicho.      https://youtu.be/XiTciGXx8jg

SIMUtv:  Kiongozi Mkuu wa NCCR Mageuzi Mhe. James Mbatia akanusha uvumi juu ya chama hicho kujitoa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA.  https://youtu.be/9I-neurG_xQ

SIMUtv:  Wamiliki wa Vyombo vya habari wamekusanyika kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa habari Edson Kamukara aliyekuwa akifanya kazi katika vyombo vya Mwanahalisi.    https://youtu.be/bbKDpjI55rI

SIMUtv:  Waziri Mkuu wa Zamani Edward Lowassa amejizolea wadhamini zaidi ya laki 2 katika Jiji la Dar es salaam na kukanusha uvumi wa kuwa ananunua wadhamini.  https://youtu.be/VXLxVM-eM3E

SIMUtv:  Rais Jakaya Kikwete ameliambia Jeshi la Magereza kuwafunza wahalifu waliopo magerezani ili watoke wakiwa na nidhamu njema pamoja na stadi za maisha.     https://youtu.be/DwzfYW6F0wY

AZAM TV.
SIMUtv:  Harakati za kusaka Urais zimeendelea kuzua gumzo kutokana na kila mmoja kuwa na sera za kipekee ndani ya chama kimoja. https://youtu.be/KF2e2QqHdZM

SIMUtv:  Hatimaye Mwalimu Antony Khalfani Chalamila amejitokeza mjini Dodoma na kuchukua fomu ya kuwania urais na kufikisha idadi ya watangaza nia 41. https://youtu.be/wmXa9h0G0P4

SIMUtv:  Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia amewaasa UKAWA kuwa umoja huo si CHADEMA bali ni nguvu ya pamoja ya kupigania haki na katiba mpya.        https://youtu.be/OA_1ADJ66GY
SIMUtv:  Hali ya wasiwasi imetanda Mkoani Morogoro baada ya magaidi kuvamia na kumuua mkulima kwa kumkata na majambia.     https://youtu.be/yaC1mYxy3CE
  
TBC.
TBC: Hii ndiyo kauli ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufuatia Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka nje kususia kikao hapo jana.      https://youtu.be/H3cCx7PzRYw

TBC: Rais Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Magereza kuwafunza wahalifu waliopo magerezani ili watoke wakiwa na nidhamu njema pamoja na stadi za maisha.     https://youtu.be/QjYYUnqB0DI

TBC:  RAIS Jakay Kikwete aongoza waombolezaji kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Geita marehemu  Kelvin Max .     https://youtu.be/QjYYUnqB0DI

TBC: Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani akiongozana na Amina Salum Leo wamerudisha fomu za kuwania urais Mjini Dodoma.   https://youtu.be/b8mPfOHGlRY

STAR TV
Katibu mkuu wa Maliasili na utalii Dk. Adelhem Meru atoa rai katika kuendeleza sekta ya utall ili Taifa liweze kunufaika na rasilimali zilizopo kusaidia kukuza uchumi wa nchi.  https://youtu.be/pMH8iJa_yt0

Kilimo cha mpunga kimewanufaisha wakulima zaidi ya 1,200 mkoani Tabora kufuatia kuboreshwa kwa miundombinu ya skimu ya umwagiliaji Dudumo.    https://youtu.be/gD11tIvC-KA

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia vijana 6 kati ya 50 wanaosadikiwa kuwa ni magaidi waliokutwa na silaha za moto.     https://youtu.be/FHBzpaZlxW8

Mwenyekiti wa CHADEMA avitaka vyombo vya habari kuwawekea bima ya maisha Waandishi wa habari  wakati akiuaga mwili wa Mwandishi wa habari jijini Dar es salaam.    https://youtu.be/zSHwiJBLk4Q

Watu 3 wamefariki Dunia na wengine kujeruhiwa kutokana na ajali iliyohusisha magari mawili ya mizigo kugongana Nje kidogo ya Dar es salaam.   https://youtu.be/RHYHwdYVqpQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...