Askofu wa Kanisa la Good News for all Ministry,Charles Gadi akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ,juu ya maandalizi ya mkutano wa maombi nchini India,katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo ,kushoto ni katibu wa Palemo Massawe wa Kanisa la Good News for all na kulia ni mjumbe wa wa Kanisa la Good News for all Fabiani Msimbe.


Mjumbe wa wa Kanisa la Good News for all Fabiani Msimbe, akifafanua jambo Mbele ya Wanahabari (hawapo pichani) juu ya kuongezeka kwa joto Duniani na athari zake 


Waandishi wa habari wakimsikiliza Askofu wa Kanisa la Good News for all Ministry,Charles Gadi hayupo pichani juu ya maandalizi  ya mkutano wa  maombi nchini IndiaPICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...