Askofu wa Kanisa la Good News for all Ministry,Charles
Gadi akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ,juu ya maandalizi ya
mkutano wa maombi nchini India,katika ukumbi wa Idara ya
habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo ,kushoto ni katibu wa Palemo
Massawe wa Kanisa la Good News for all na kulia ni mjumbe wa wa
Kanisa la Good News for all Fabiani Msimbe.
Waandishi
wa habari wakimsikiliza Askofu wa Kanisa la Good News for all Ministry,Charles
Gadi hayupo pichani juu ya maandalizi ya mkutano wa maombi nchini
IndiaPICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...