Mkurugenzi Mtendaji wa TANESC.Eng.Felchesmi Mramba akizungumzia mkutano wa Wafanyakazi wote wa jijini Dar na Pwani kupokea kombe la mshindi wa pili wa mpira wa miguu na mbio ndefu katika mashindano ya Mei mosi yaliyoyafanyika jijini Mwanza.Mkutano huo uliofanyika tarehe 29 Mei 2015 makao Makuu ya shirika hilo Ubungo Dar Es Salaam.
Home
Unlabelled
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Eng. Felchesmi Mramba akizungumzia mkutano wa Wafanyakazi makao makuu jijini Dar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...