Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2015

    Mimi namfananisha Mheshimiwa Lowassa na Waziri Mkuu wa sasa wa India Bwana Narendra Modi.

    Bwana Modi alitukanwa na kukashifiwa na wanachama wenzake na wapinzani kwa sababu ya vurugu zilizotokea mji wa Gujarat wakati akiwa mkuu wa mji huo. Lakini alikaa kimya na hakujibu tuhuma hizo na wananchi wa India walimpa kura zao kwa sababu ya vision yake kwa ajili ya nchi ya India.

    I see LOWASSA WAVE will sweep this country na wananchi wa Tanzania kwenye safari hii ya matumaini wataona maendeleo ya uhakika!!!

    ReplyDelete
  2. Sometimes unashindwa uegame wapi, maana kila mmoja yupo katika kuwamba ngoma hii ya uchaguzi na ni lazima tu kila mmoja atavutia upande wake. Binafsi nadhani 'Commitment' ndio ina package zote, rather than hard working. Tulitafakari hilo katika kuchaguwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...