Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2015

    ni pambo tuu, tz kwani kuna sheria kweli??

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2015

    hairuhusiwi kuvua

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 10, 2015

    HIYO ALAMA INAMAANISHA "NO U-TURN" USIGEUKE NYUMA NA SIO KAMA UNAVYOFIKIRI KUWA HIYO ALAMA INAMAANISHA USIGEUKE KULIA HAPANA.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2015

    Maendeleo ni watu. Barabara ilitakiwa kujengwa kukidhi matakwa na kuwawezesha watu. Hii Barabara hapa haina sehemu ya kuchepukia kulia kwa umbali mrefu sana zaidi ya hapa, which is useless! Barabara iwatumikie watu, sio kinyume chake..Otherwise tutaendelea kupuuzia alama hii na kuendelea na maisha.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 10, 2015

    No U turn at this point.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 10, 2015

    Ilitakiwa waruhusu kufanya U-turn anyway! maana sehemu kama mbezi beach Makonde, watu wanaotokea NSSF Road kuingia kwenye barabara kuu ya kuelekea bagamoyo wanapata shida sana. Taasisi husika either iruhusu U-turn au wajenge ramps!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 10, 2015

    kinamaanisha huwezi kuishi bila kupindisha sheria

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 10, 2015

    sUBIRI WAZEE WA FEVA WAKUFUMANIE

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 10, 2015

    Labda huyu dreva ametoka mtaa wa pili kushoto!

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 10, 2015

    hivo vibao sijui vina maana gani coz kwenye barabara ya mwenge tegeta unakuta vipo ktk kila uturn pande zote,vikimaanisha hakuna anayeruhusiwa kugeuza,Sasa uturn ni nini au ya nani?

    ReplyDelete
  11. Hiki kibao kipo sahihi kabisa kinazuia kurudi utokako kwa upande wa pili. Hapa mahali napafahamu hiyo gari ipo sahihi kwani inatokea upande wa Kanisa Katoliki Tegeta na siyo inakunja uturn.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...