Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2015,Khatib Chumu akimkabidhi kadi ya CHF Amina Mohamed kwenye viwanja vya Mkwakwani ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu (hayupo pichani). nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu.
Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2015,Khatib Chumu akimkabidhi kadi ya CHF Saumu Kombo mkazi wa Ngamiani jijini Tanga kwenye viwanja vya Mkwakwani kadi hizo ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu.
Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2015,Khatib Chumu akimkabidhi kadi ya CHF Aziza Sheria ambazo walikabidhiwa wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu (hayupo pichani). nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Tanga, Ally Mwakababu.
wakina mama wakiwa na kadi zao za CHF mara baada ya kukabidhiwa na kiongozi wa mbio za Mwenge 2015 Khatibu Chumu ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu (hayupo pichani). nyuma yao ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF), Ally Mwakababu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...