Mbunge wa Jimbo la Sengerema na aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja amekanusha taarifa za kukutwa na tuhuma za ufisadi uliopelekea kuvuliwa uwaziri.
amesema wananchi wengi wamekuwa wakidhani kuwa aliondolewa katika wadhifa huo kwa kutumia madaraka vibaya jambo ambalo si sahihi.
Ameongeza utaratibu uliofanyika kumuondoa ni utaratibu wa kawaida na kuwa unaweza kutumika hata bila ya kuwa na udhaifu katika uongozi.
Ameongeza kumekuwa na baadhi ya baadhi ya watu wanaoeneza habari hizo kwa leo la kumchafua.
Willim Ngeleja anaungana na viongozi wengine wa siasa kutangaza nia ya kugombea urais. BOFYA VIDEO JUU KUMSIKILIZA.
Hebu tujiulize. Kwa nini Takwimu za uchumi nchini zinaonyesha Uchumi ukikuwa kwa wastani wa asilimia 7% takribani kwa muongo mzima wa takribani miaka 10 mfululizo lakini umasikini umekuwa ukipungua kwa asilimia 2% tu? BOFYA VIDEO JUU KUSIKILIZA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Matatizo ya wananchi hayajibiwi kwa hotuba, yanajibiwa kwa vitendo!!
ReplyDeleteNategemea vijana zaidi watatangaza nia hata kupitia vyama vya upinzani kumbuka Nyerere alianza kutawala na miaka 35.. Nimemwona yule wa Mzumbe pengine wengine watajitokeza baadaye. Hata kama usipoenda mbali itakujengea CV.
ReplyDelete